Marioo - Wauwe  Lyrics

Wauwe

Marioo

Single
1,211 0 2
Marioo Wauwe lyrics

About Wauwe

Edit
Nothing yet. Click Edit to add something.

Marioo Wauwe Lyrics

Correct Lyrics
[Marioo - Wauwe lyrics]
Dengula nyonga msokoto
Maana mimi nimekuja na bapa
Masha luv wee lete watoto
Wanyonyonga party za kukata

Nyumbani mimi nimechoka
Mavitu ya mama
Nataka dhuluma dhuluma eeh
Nipate ndogo ndogo baridi mwanana

[CHORUS]
Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

[VERSE 2]
Maritili, ka dinner
Na anataka piece kama wema
Japo kitu kama mkono, mkono
Ata kwenye giza ndo kudema
Mama mama jishikilie
Nabadilikia kilimani
Oooh mama mama nitilie
Kama tandoni na ukokoni

[CHORUS]
Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Alkaida! Na kama alkaida!
Alkaida! Na kama alkaida!
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!
Marioo Wauwe lyrics
Share Marioo Wauwe lyrics

What do you think about this song?

Hint: Nig_r_a
Marioo Wauwe Music Video

Other Songs By Marioo

Show all Songs by Marioo, A-Z

Other Top Songs