Lava Lava - Nikate Nini  Lyrics

Nikate Nini

Lava Lava

Single
1,514 0 0
Lava Lava Nikate Nini lyrics

About Nikate Nini

Edit
Nothing yet. Click Edit to add something.

Lava Lava Nikate Nini Lyrics

Correct Lyrics
[Lava Lava - Nikate Nini lyrics]
Aaaaheeeh…

Kwako tena sitamani
Nilishajua nilivaba
Huna jipya
Kurudi haiwezekani
Nishalioga janaba
Nikajisafisha uhmmm

Oh maradhi yangu
Yamepata muguzi
Mola wangu
Amenivusha vihunzi
Pole mwenzangu
Unokesha kwa waganguzi
Nishapata wangu
Anaejua nogesha chuzi
Naa ananipa mapenzi na kunijari dia
Ya nyuma niyasahau
Na anamaliza tenzi kutwa kunisifia
Kwa methali na nahau
Kwingine nitake nini

Ntang’angana, Nang’ang’ania
ohoo mimi
Nang’ang’ana nang’ang’ania
Sitaki madanga wa mjini
Nang’ang’ana, nang’ang’ania
Oohooo mimi
Nang’ang’ana Nang’ang’ania
Aaah atake cha uvunguni

Sawa sawa
Pingili za sakafuni
Sawa sawa
Michezo ya kusaka kunguni
Sawa sawa
Tom na Jerry katuni
Sawa sawa (sawa ...)

Uliposema wa nini
Ye aliwaza atanipata lini
Kendebwe za nini
Na vijembe vya chini chini
Yupo makini
Penzi kashalibana na pini
Anipenda mimi
Hajazoea kuzini zini
Kwanza kakuzidi maarifa
Mpira tisini dakika
Nyavu anazitikisa aahee
Mlangoni mpaka kwa dirisha
Pindu ananipindisha
Mtoto ananifikisha aaaheee

Naa ananipa mapenzi na kunijari dia
Ya nyuma niyasahau
Naaa anamaliza
Tenzi kutwa kunisifia
kwa methali na nahau
Kwingine nitake nini

Ntang’angana, Nang’ang’ania
ohoo mimi
Nang’ang’ana nang’ang’ania
Sitaki madanga wa mjini
Nang’ang’ana, nang’ang’ania
Oohooo mimi
Nang’ang’ana Nang’ang’ania
Aaah atake cha uvunguni

Aah atake cha uvunguni
Sawa sawa
Pingili za sakafuni
Sawa sawa
Michezo ya kusaka kuguni
Sawa sawa eee
Tom na Jerru katuni
Sawa sawa (sawa)
Lava Lava Nikate Nini lyrics
Share Lava Lava Nikate Nini lyrics

What do you think about this song?

Hint: Nig_r_a
Lava Lava Nikate Nini Music Video

Other Songs By Lava Lava

Show all Songs by Lava Lava, A-Z

Other Top Songs